Mwanamuziki Moses Ssali aka Bebe Cool, amechaguliwa kuwa balozi wa timu
ya taifa ya mpira wa miguu, Uganda Cranes, kwa lengo la kutumia nguvu ya
ushawishi aliyonayo msanii huyu kujitangaza zaidi.
msanii Bebe Cool akiwa na wachezaji wa timu ya soka ya Uganda Cranes

Bebe Cool mwenyewe ambaye amekuwa na mapenzi makubwa na soka, tayari amekwishaanza kuitumikia nafasi yake kwa kutangaza matukio mbalimbali kuhusiana na timu hii, hususani kupitia mitandao ya kijamii.
0 comments:
Post a Comment