Hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la dunia ya mpira
wa kikapu imeshuhudia timu mbili zikitangulia kwenye hatua ya
inayofuata usiku wa kuamkia hii leo baada ya kufanikiwa kupata ushindi
dhidi ya timu pinzani.
Mabingwa watetezi wa fainali hizo timu ya taifa ya Marekani waliwafunga midomo Slovenia baada ya kuwachapa point 119 – 76.
Mchezo mwingine wa hatua ya robo fainali uliochezwa jana huko nchini Hispania ulishuhudia Lithuania wakiwaangamiza Uturuki waliokubali kibano cha point 73–61.
Hii leo michezo ya hatua ya robo fainali itahitimishwa kwa timu nyingine mbili zitakazokwenda kwenye hatua ya nusu fainali ambapo;
Serbia vs. Brazil
Waamuzi: Steven Anderson (USA), José Reyes (MEX), Borys Ryzhyk (UKR)
Ufaransa vs. Spain
Waamuzi: Luigi Lamonica (ITA), Michael Aylen (AUS), Oļegs Latiševs (LAT)
Mabingwa watetezi wa fainali hizo timu ya taifa ya Marekani waliwafunga midomo Slovenia baada ya kuwachapa point 119 – 76.
Mchezo mwingine wa hatua ya robo fainali uliochezwa jana huko nchini Hispania ulishuhudia Lithuania wakiwaangamiza Uturuki waliokubali kibano cha point 73–61.
Hii leo michezo ya hatua ya robo fainali itahitimishwa kwa timu nyingine mbili zitakazokwenda kwenye hatua ya nusu fainali ambapo;
Serbia vs. Brazil
Waamuzi: Steven Anderson (USA), José Reyes (MEX), Borys Ryzhyk (UKR)
Ufaransa vs. Spain
Waamuzi: Luigi Lamonica (ITA), Michael Aylen (AUS), Oļegs Latiševs (LAT)
0 comments:
Post a Comment