Msanii Akili The Brain amesema kuwa utaratibu wake kwa sasa ni kutoa
ngoma zisizozidi Mbili kila mwaka licha ya kumiliki studio yake mwenyewe
ikiwa ndio sababu ya watu kuona kama huwa haishi nchini na anakuwa
kimya sana.
Akili
ameongea na kusema kuwa kwa kawaida ngoma zake huwa zinakaa studio muda
mrefu ili kutoa nafasi kwa kazi iliyotangulia na pia kutoa muda wa
kurekebisha rekodi hizo vizuri kabla ya kuziachia kwa mashabiki.
Mkali huyo wa miondoko ya Bongo Bhangra kwa sasa anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina Habibty ambayo amemshirikisha msanii mkali Saraha.
Mkali huyo wa miondoko ya Bongo Bhangra kwa sasa anatamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina Habibty ambayo amemshirikisha msanii mkali Saraha.
0 comments:
Post a Comment