Tuesday, June 24, 2014

Ufafanuzi wa TANESCO kuhusu umeme kukatka nchi nzima

Baada ya kukatika kwa umeme majira ya saa moja na kusababisha karibu mikoa yote ambayo imeunganishwa na gridi ya taifa kukosa nishati ya umeme na kusimamisha shughuli za Bunge ikiwemo zoezi la upigaji wa kura ya Bajeti ya Serikali, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Nchini, TANESCO, Mhandisi Felchesim Mramba ametoa ufafanuzi juu ya hilo na kubainisha kuwa mafundi wa shirika hilo wanaendelea kufanya uchunguzi.

Video ya ITV iliyopachikwa hapo chini ina taarifa zaidi...

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...