Friday, February 15, 2013

Ugomvi wa rihanna na katy ukweli huu hapa



Moja kati ya story niliyo jaribu kuifatilia kwa muda mrefu ni story ya rihhana na rafiki yake wa muda mrefu namzungumzia Katy Perry ambako ilisemekana kuwa tangu rihhana arudiane na chriss brown marafiki hawa hawaongei kabisa kwani katy perry alimwambia asije akarudi kwa jamaa na kwenye tuzo za mtv award za mwaka jana katy alimwona rihanna akiss na chriss alipo muliza alimjibu kuwa its just a kissare no longer on speaking terms since Rihanna went back to Chris Brown.

Kwa mujibu wa marafiki wa karibu tena wa rihanna waliweka wazi kuhusu kutozungumza kwa rihanna na katy nakusema kiukweli rihanna hana tatizo na katy na hawajakutana kwa muda sasa.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...