Wednesday, March 6, 2013

Baada ya jana kupondwa



Baada ya kusemekana alifanya makusudi kutokea kwenye stage kwenye concert jiji london Justin Bieber  ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter na kupinga vikali maneno hayo.
Justine aliandika kuwa kuna watu wanamletea fitina katika kazi zake na kumwekea vikwazo kwenye maonyesho yake kila siku naamini kuwa ipo siku yatakwisha kiukweli nilichelewa kwenye stage kutokana na mambo yaliyo kuwa nyuma ya stage lakini kuhusu watoto kutoroka muda shule sikweli na kusema kwamba ticket nilinunua mimi zote hapana ila watu walinunua.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...