Sunday, June 22, 2014

Angalia jinsi wakazi wa eneo la viwanda walivyo amua kupanda miti na kukubali

Katika kuendeleza mapambano zidi ya kukpambana na mabadiliko ya tabia ya nchi na kurudisha hali ya mko wa kilimanjaro wa kazi wa mtaa wa viwanda waliamua kupanda miti katika eneo la wazi miezi kadhaa iliyopita leo katiza yangu nimepita katika eneo hilo nikakuta miti imestawi

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...