Tuesday, July 1, 2014

TAZAMA VIDEO IKIMUONESHA EZDEN AKIZUNGUMZIA SABABU YA NDOA YAKE NA DIDA KUVUNJIKA

Baada ya ndoa ya Mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu 'Dida' kudaiwa kuvunjika, mumewe anayepiga mzigo TV1, Ezden Jumanne amefunguka mengi kuhusu sababu za kuvunjika ndoa hiyo. Ili kujua ni nini amezungumza, ungana na Global TV Online

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...