Friday, July 15, 2016

Matokeo ya kidato cha sita yametoka

Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,

Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.
Fata link hii uyaone

http://www.necta.go.tz/results2016/ACSEE2016/index.htm

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...