ikiwa ni mara ya tatu mfululizo, Ambwene Yesaya (AY), kupitia tuzo za PAM ziilizofanyika Uganda . Kupitia katika kategori ya msanii bora wa kiume kutoka Tanzania, AY amechukuwa tuzo hiyo mbele ya washiriki wengine , Belle 9, Diamond na Alikiba
YOUTH MOVEMENT
0 comments:
Post a Comment