Haija
wahii tokea maadui hawa wakawa kwenye stage moja ilahii inatokea kwenye BET Hip
Hop Awards za bwana mkubwa Chris Lighty.
Inaonekana kama
50
Cent na
Fat
Joe ugomvi
wao watauweka pembeni katika hiyo stage inayo kuja ya tuzo za 2012
BET Hip Hop Awards.
Ingawa sasa ishu aijawa wazi bado kuwa itakuaje hiyo October 9 kwani mwaandaaji ajasema plan ipoje na wala ajazungumza ina nini kingine hapa namzungumzia BET's Vice President Tracy McGraw.
Tusubirini hiyo siku kuwa itakuaje na wangapi watachukua tuzo za mwaka huu ambazo zina changamoto kubwa kwa kila msanii aliyopo kwenye category yake.







Dar+Es+Salaam
0 comments:
Post a Comment