Kichwa
kutoka Atlantic Records Wiz Khalifa ametangaza kuwa mzigo wake wa O.N.I.F.C., utatolewa mwezi wa will be
released December tarehe 4.
Album
itafukuzia mauzo ya album yake ya mwaka 2011 Rolling Papers, ambayo iliipa nafasi nzuri na kumfanya auze kopy 800,000
units to date.
Album hii ikifatana na single ya Remember You (ft. The Weeknd),na
kufatiwa na single Work Hard, Play Hard
na nyengine ni and the 2, It’s Nothin’.
Lakini Wiz’
mixtape Taylor Allderdice imechaguliwa
kwenye category ya Best Mixtape kwenye tuzo
2012 BET Hip Hop Awards pande za Atlanta, ataivyo jamaa atakuwa kwenye
stage hiyo akipafomu nyimbo zake kali
mbili Work Hard, Play Hard akipewa
tafu na wakali wengine kama Young Jeezy and Juicy J.
Wiz pamoja
na Taylor Gang wameongeza siku na tarehe za 2050
Tour, ambayo itaanza pande za North
America akiwa na Taylor Gang members mfano Juicy J, Chevy Woods, Lola Monroe,
Tuki Carter and Berner. Ambako itamalizika October 12 pande za Bryce Jordan
Center in State College na kuendelea tena katikati ya December.







Dar+Es+Salaam
0 comments:
Post a Comment