Thursday, December 27, 2012

Rihanna, Chris Brown tena na mkwanja.



Rihanna, Chris Brown,Laker Game,na Nicki Minaj wataweka mkwanja mbele kuliko Beyonce.
Wamepata matagazo na magazeti ya marekani wameyaweka mikononi mwao kuliku beyonce tena kwani promo ndefu sana kwa sasa toka kwao.

Beyonce atafanya show ya $4 million pande za Las Vegas mwishoni mwa mwaka huu katika kuuwaga mwaka huu 2012 na nicki minaj naye atakuwa home kutoa show pia.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...