Thursday, February 7, 2013

Alicho sema pinda



Waziri mkuu mizengo panda amewataka watanzania wasiwe na matumain ya muda mfupi au mategemeo pa ya muda mfupi kuhusu upatikanaj wa wa nishart ya petrol na gesi nchini.
Akifungua mkutano wa sita wa wadau wa nishati hiyo wan chi za afrika mashariki mjinii arusha jana alisema nishati hiyo inahitaji uwekezaji mkubwa hadi ianze kutoa matunda.
Aliwataka watanzaniia wawe tayari kujipanga vizuri katika kuimarisha kwa ushirikano kati ya wawekezaji na serikaliambayo jukumu lake nikujenga mazingira mazuri kwa wawekezaji.
Alisema kukuwakwa sekta y ages nay a petrol katika nchi za eac kutachochea ukuaji wa wa maendeleo katika nmaeneo mengne yakiwemo ya uchumi na ustawi wa jamii waziiri mkuu amesema kuwa ufahamu mdogo mongoni mwa wanachi hasa watanzania ni chnagamoto kubwa kwenye secta hiii.
Aliongeza kuwa jambo la msingi ni kuimarisha ushiriikiano katika nchi zote bza afrika masharikikatika utafiti wa uchimbajii na uzalishaji wa nishati zote kama hakuta kuwa na ushirikiano katka nchi zote ili kupata maendeleo.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...