Dyana ni mmoja kati ya wadada
walio juu kwasasa kwenye game ya mzikii ambako alitamba na ngoma kali kama vile
Mafungu Ya Nyanya, Nivute Kwako na kumweka pazuri zaidi sasa ivi anakuja na kzi
aliyo fanya na mr blue na ameamua kuachia cover arts ya ngoma hiyo hii leo jna
la ngoma hiyo amesema inaitwa ''LEO''.
0 comments:
Post a Comment