Thursday, February 7, 2013

Dyana tena na blue



Dyana ni mmoja kati ya wadada walio juu kwasasa kwenye game ya mzikii ambako alitamba na ngoma kali kama vile Mafungu Ya Nyanya, Nivute Kwako na kumweka pazuri zaidi sasa ivi anakuja na kzi aliyo fanya na mr blue na ameamua kuachia cover arts ya ngoma hiyo hii leo jna la ngoma hiyo amesema inaitwa ''LEO''.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...