Waliingia makubaliano ya
kutengeneza nguo maalum zitakazotokana na pamba ya wakulima hawa wa Afrika na
hivyo kuwanufaisha moja kwa moja. Hivyo basi nguo hizi zinatangazwa kama
kampeni ili kunufaisha bara la Afrika.
Nguo hizo zitaanza kupatikana
mwanzoni mwa mwezi wa tatu katika maduka mbalimbali nchini Marekani na duniani.
Pia nguo za DIESEL + EDUN zitauzwa kupitia mitandao mbalimbali.
Mwanamitindo Flaviana Matata
ambaye aliwahi kuwa Miss Universe Tanzania 2007 anabaki kuwa mwanamitindo pekee
kutoka bara la Africa katika kushiriki katika kampeni za nguo hizo.
0 comments:
Post a Comment