Wednesday, March 19, 2014

iphone ya toa iphone5c kwa bei raisi kuliko


Apple Inc. launched a cheaper, lower capacity version of its plastic-backed iPhone 5C.kampuni ya Apple Inc.leo asubuhi wameachia simu nyengine ambayo ni iphone5c katika nchi za  Australia, China baadhi ya nchi za European ambayo imeizidi iPad 4 tablet inayo karibia  iPad 2 kumbukaka iPad 4 ilikuwa ikiuzwa $399 kwa ukubwa wa16GB ikiwa na Wi-Fi mpaka $529 za ukubwa huohuo wa 16GB Wi-Fi kwa marekani.
 iPhone 5C imeingia sokoni na kuuzwa kwa kiasi cha  $100 kuliko  iPhone 5S,tafuta umiliki na wewe

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...