Wednesday, July 2, 2014

ratiba ya robo fainali kombe la dunia



Raiba ya mechi za robo – fainali imetoka. Mechi ya kwanza ni saa 1:00 usiku, ya pili 5:00 usiku. Muda huo ni kwa saa za Afrika Mashariki.
Ijumaa, Julai 4.
Ufaransa v Ujerumani : Saa 1 usiku
Brazil v Colombia : Saa 5 usiku
Jumamosi, Julai 5.
Ubelgiji v Argentina : Saa 1 usiku
Uholanzi v Costa Rica : Saa 5 usiku.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...