Msanii mkali wa michano wa kike nchini Kenya Stella Mwangi aka STL
ameibuka tena katika gemu akijiandaa kufyatua wimbo wake mpya
uliobatizwa jina ‘Biashara’ Remix.
MSanii STL wa nchini Kenya
Mwezi
uliopita STL alifanikisha kufanya project zake za muziki na wasanii
wakiwemo Kidis pamoja na rapa Shappaman kutoka kundi maarufu la Camp
Mulla.
Tayari mkali huo ametoa picha yake na wasanii Kristoff na Khaligraph ambao kwa pamoja wanaungana kutoa remix ya single hiyo mpya ya 'Biashara'.
Tayari mkali huo ametoa picha yake na wasanii Kristoff na Khaligraph ambao kwa pamoja wanaungana kutoa remix ya single hiyo mpya ya 'Biashara'.
0 comments:
Post a Comment