Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania Dkt Seif Rashid
Madaktari wa magonjwa ya binadamu, wameishauri wizara ya afya na ustawi
wa jamii kuhakikisha inapanua wigo wa uboreshaji wa huduma za maabara
ikiwa ni pamoja na kuweka mazingira mazuri kwa sekta binafsi.
Kwa upande wake mtaalamu wa maabara kutoka maabara ya Lancet iliyozinduliwa hivi karibuni jijini Arusha Bw. Ahmed Calleb amesema siku zote utendaji kazi bora wa daktari unafanikishwa na majibu sahihi ya vipimo vya mgonjwa.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Seif Rashid
0 comments:
Post a Comment