Thursday, September 4, 2014

Ronaldo aeleza yalipo mapenzi yake

Ronaldo anasema Sir Alex Ferguson ndiye kocha pekee aliyewahi kumchukulia kama 'rafiki'.

Ronaldo anasema Sir Alex Ferguson ndiye kocha pekee aliyewahi kumchukulia kama ‘rafiki’.
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameibuka na kuelezea wazi mapenzi yake aliyokuwa dhidi ya klabu yake ya zamani ya Manchester United.
“Naipenda Manchester,” alisema.Ronaldo aliwapiku Manuel Neur na Arjen Robben na kuwa Mchezaji Bora wa Ulaya.
Ronaldo aliwapiku Manuel Neur na Arjen Robben na kuwa Mchezaji Bora wa Ulaya.
Kila mmoja analijua hilo – nimelisema hili mara nyingi. Manchester iko moyoni mwangu. Nimewaacha marafiki wengi wazuri pale, mashabiki wa ajabu na natamani nirudi siku moja pale.”Ronaldo akifurahia tuzo yake ya Ballon d'Or aliyopewa kwa kuwa Mchezaji Bora wa Dunia.
Ronaldo akifurahia tuzo yake ya Ballon d’Or aliyopewa kwa kuwa Mchezaji Bora wa Dunia.
Mchezaji huyo bora wa Ulaya pia hakusita kuelezea furaha aliyonayo Santiago Bernabeu.Mashabiki wa Man U na Ligi Kuu huenda wanapenda kumuona Ronaldo anarudi klabuni hapo siku moja.
Mashabiki wa Man U na Ligi Kuu huenda wanapenda kumuona Ronaldo anarudi klabuni hapo siku moja.
“Nina furaha hapa Real Madrid na nina miaka minne zaidi, ila hapo mbeleni huwezi jua kwa sababu wananichukulia isivyo kawaida pale,” aliongeza.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...