Tuesday, March 17, 2015

mr.blue:najisikia vibaya kuona kiwango changu kushuka

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mr Blue
                                                              Mr Blue
Nguli wa muziki wa Kizazi kipya Heri Samir ‘Mr Blue’, amesema anajiandaa kurudi upya katika tasnia ya muziki nchini.
Amesema amepanga kurudisha nguvu kwenye muziki atahakikisha anawafunika wasanii chipukizi.
Mr. Blue anajisikia vibaya kuona kiwango chake kimeshuka kwa kiasi kikubwa amepanga kurejesha makali yake.
“Sitaki kufanya makosa nitakapokuja kuwa mpya kwani nataka kubadilisha kila kitu katika muziki wangu ili niweze kujizoeleka tena na mashabiki,” alisema Mr Blue.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...