Tuesday, March 17, 2015

Shamsa ataka kujiajiri


Msanii wa filamu Tanzania Shamsa Ford
                                                      Shamsa Ford
Mwanamama katika ya filamu, Shamsa Ford amesema anataka kujiajiri mwenyewe, hataki kuajiriwa.
Shamsa ambaye amekuwa akionekana katika filamu za Jacob Steven ‘JB’ kama muigizaji mkuu, alisema ikifika mwezi ujao, atakuwa na kazi zake mwenyewe.
Alimwambia Mwandishi Wetu kuwa, anashukuru analipwa vizuri katika kazi anazofanya za waajiri wake.
“Siwezi kusema filamu hazinilipi, zinanilipa kwani wajiiri wangu wamekuwa hawana matatizo katika malipo, napata haki yangu bila ubishi, ila nahitaji kujitegemea,” alisema.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...