Thursday, July 23, 2015

DJ ‘S WENGI WANAJIRAHISISHA SANA – DJ MAFUVU

Best Dj in town Dj Mafuvu ni kati ya watu waliamua kujitofautisha na Dj’s wengine  hasa kati upende wakazi .Dj Mafuvu alipiga story na safu yetu na kudai kuwa Djs wengi wana jirahisisha kati kazi zao hapa ana funguka .
”Djs wengi wana jishusha sana katika kazi zao na kupelekea kuwa chini siku zote , ilakama mtu akinifata nifanyenae kazi yake lazima nikaenae chini na kuzungumza coz when it come katika kazi ni kazi tu .But unakuta Djs wengine wanafanya kazi kishaji sana na kupelekea kuwa chini sana ana hii hutufanya wote tuonekane tunafanya kazi kishikaji wakati sio kweli ”.
Ukitaka kufanya kazi na mimi lazima ufate masharti yangu yafutayo ili uweze kunipata niwezekupiga show yako.
1.Lazima tuwandikishiane mkataba .
2.Uwe makini na kitu tunacho kizungumza .
3.You have to pay me good coz kila show ninyao piga huwa natumia vifaa vyangu .
mtu ukiweza kuvifanya hivyo vitu basi tunaweza kufanya kazi wote sawa na kila kitu kitaende poa , kwani hata Mtvbase walivyokuja last year kutaka kufanya kazi na mimi walivyo nilipigia simu ili kufanya kazi yao ya kuwarusha watu watakofika katika event yao . Niliweza kuonyesha Jinsi  gani nipo makini na kazi yangu wakashangaa walizania wabongo tupo chini coz nilpowatajia amount niyanyo taka na vitu ninavyo tumia wamkaweza kukubali kufanya kazi na mimi for that day ikaniongezea credit kubwa sana ”.Dj Mafuvu

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...