Thursday, July 23, 2015

Taylor Swift nae amuomba Nicki Minaj msamaha kwa kumshambulia Twitter..!


Taylor swift
Kumekuwa na mivutano kati ya wasanii wa Kimarekani kwenye mtandao wa Twitter, tumeyaona ya Meek Mill akimshabulia Drake na ya Nicki Minaj kushambulia tuzo za MTV VMA’s 2015.
Baada ya blogs na websites nyingi kumuunga mkono Nicki Minaj juu ya tuzo hizo, msanii Taylor Swift ameaanza kuelewa sababu iliyomsukuma Nicki kuongea vile mtandaoni. Na kuonyesha kuwa hana kinyongo msanii huyo alipost ujumbe twitter akisema…
minaj
>>>“nilihisi umenishambulia mimi kumbe haiko hivyo, nilikuelewa vibaya..samahani”. <<< Taylor Swift.
Nicki Minaj alianzisha mjadala kuhusu ubaguzi wa wasanii weusi wa kike kwenye Tuzo za MTV VMA’s Twitter huku akidai wasanii wakizungu hupendelewa zaidi, baada ya Taylor kusikia hivyo alimshambulia Nicki na kudai anashangazwa kwa nini yeye yupo mstari mbele kuwachonganisha wanawake kwenye industry.
- New York, NY - 12/12/14 - Z100's Jingle Ball 2014 - Live Show.  -PICTURED: Taylor Swift -PHOTO by:Kristina Bumphrey/Starpix -Filename: KBU_14_29359322.JPG -Location: Madison Square Garden  Startraks Photo New York,  NY For licensing please call 212-414-9464  or email sales@startraksphoto.com  Startraks Photo reserves the right to pursue unauthorized users of this image. If you violate our intellectual property you may be liable for actual damages, loss of income, and profits you derive from the use of this image, and where appropriate, the cost of collection and/or statutory damages.
Taylor Swift ana mtazamo wa tofauti kabisa sasa hivi juu ya malalamiko ya Nicki Minaj, Taylor alichukua time na kumuandikia Nicki Twitter kusema…
>>> “nilihisi nashambuliwa mimi kama mimi, na hasira zilinifanya nisielewe point yako na kunifanya kuongea vile… naomba unisamehe Nicki”. <<< Taylor Swift.
niikii
Nicki alijibu ujumbe huo kwa kusema kuwa yameisha na heshima yake juu ya Taylor imeongezeka na ni msanii wa kike mwenye mchango mkubwa kwenye muziki.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...