Yamoto Band
inayoundwa na wasanii wenye umri mdogo inazidi kufanya vizuri kila kukicha na
hivi sasa wanatamba na ngoma tatu zikiwa ni pamoja na Nibemende/Nitajuta,
Niseme.
Akiongea Jayree,
Asley ambaye ni kiongozi wa bendi hiyo amesema kuwa Said Fella (boss wao)
amekuwa msaaada mkubwa katika nyimbo zao zote.
“Mara nyingi
sisi huwa tunafanya melodies yeye anatoa maneno…Producer alitengeneza beat
akatuita studio tukaanza melodies na maneno kidogo yetu. Bahati nzuri Mkubwa
alikuwa anatoka kwake anakuja studio tukampigia simu ‘mkubwa sisi tumepata
melody kuna nyimbo tulikuwa tunafanya hapa studio ila bado tunaona maneno kama
hayajakuwa mazuri. Kweli mkubwa alivyokuja kuyasikiliza akaanza kuyapasua neno
maoja baada ya moja.” Amesema Asley.
0 comments:
Post a Comment