Wednesday, September 3, 2014

Kim Kardashian West alamba tuzo mjini London

Kim Kardashian alionyesha umbo lake lenye mvuto kwenye tuzo za watu za GQ zilizofanyika jijini London, Jumanne usiku.

Kim Kardashian alionyesha umbo lake lenye mvuto kwenye tuzo za watu za GQ zilizofanyika jijini London, Jumanne usiku.
Kim Kardashian aliwashangaza watu wakati alipokwenda kwenye Tuzo za GQ Watu wa Mwaka mjini London siku ya Jumanne usiku akiwa na gauni lililobuniwa na Ralph na Russo lenye suti ya Atsuko Kudo na viatu virefu vya Tom Ford.

Akisindikizwa na mume wake Kanye West, ambaye hakuacha kumkumbatia, nyota huyo wa kipindi cha Keeping Up With The Kardashians alipewa tuzo ya Mwanamke wa Mwaka na mhariri wa GQ Dylan Jones.
Huzuni kwa Dylan, hakuweza kutaja jina lote lenye West mwishoni, na Kimmy alihakikisha kila mmoja analijua hilo (jina).
Kanye West 37, akimsaidia mkewe kuweka gauni lajke vizuri asije akalikanyaga wakati anatembea kwenye zulia jekundu kwenye sherehe za Tuzo za Watu wa Mwaka za GQ zilizofanyika mjini London.
Kanye West 37, akimsaidia mkewe kuweka gauni lake vizuri asije akalikanyaga wakati anatembea kwenye zulia jekundu kwenye sherehe za Tuzo za Watu wa Mwaka za GQ zilizofanyika mjini London.
Dylan alimtambulisha nyota huyo wa televisheni kwa maneno yafuatayo: “Ni mmoja wa wanawake maafuru duniani. Malkia wa mitandao ya kijamii na malkia wa televisheni. Na tangu aoane na Kanye West mwezi Mei, amekuwa sehemu ya wanandoa maarufu duniani. Ni maarufu kwa Cocoa Cola. Ni Kim Kardashian.”
Kim na Kanye walidhihirisha kuwa ni wapendanao bora kwa kila mmoja kwa mwenzake, hawakuacha kutabasamu na rapa huyo alikuwa akijisogeza kwenye shingo ya mke wake mzuri na kuzungusha mikono yake kwake. Pia alimpiga busu kuwa alipokwenda kwenye jukwaa kupokea tuzo yake.Wanandoa hao walifunga ndoa mwezi wa Mei mjini Florence nchini Italia.
Wanandoa hao walifunga ndoa mwezi Mei mjini Florence nchini Italia.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...