Sunday, September 7, 2014

Ni Hatua ya Robo Fainali Kombe La Dunia la Mpira wa Kikapu

Ni Hatua ya Robo Fainali Kombe La Dunia la Mpira wa Kikapu

Michuano ya kombe la dunia ya mpira wa kikapu mwishoni mwa juma lililopita iliingia kwenye hatua ya mtoano na tayari timu kadhaa zimepiga hatua na kuingia kwenye hatua ya robo fainali.
Michezo iliyochezwa usiku wa kuamkia hii leo ilishuhudia;
New Zealand          71–76                    Lithuania
Serbia                   90–72                    Ugiriki
Uturuki                65–64                    Australia
Brazil                   85–65                    Argentina

Kwa mantiki hiyo sasa katika hatua ya robo fainali timu ya taifa ya:
Lithuania              vs.                Uturuki
Slovenia               vs.               Marekani
Serbia                 vs.                Brazil
Ufaransa              vs.                Hispania
Michezo ya hatua ya robo fainali itaanza kuunguruma Septemba 9 na 10

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...