Thursday, September 11, 2014

Picha: Tanki la mafuta lapinduka na kuwaka moto Morogoro

Tanki la mafuta likiwaka moto baada ya kupenduka eneo kati ya Morogoro na Dodoma.Tanki la mafuta likiwaka moto baada ya kupinduka eneo kati ya Morogoro na Dodoma.Mashuhuda wanasema hakuna mtu aliyejeruhiwa na namba za gari lililobeba tanki hilo hazijajulikana.Mashuhuda wanasema hakuna mtu aliyejeruhiwa na namba za gari lililobeba tanki hilo hazijajulikana.Moto mkali ukiendelea kuwaka barabarani. Moto mkali ukiendelea kuwaka barabarani.Gari la zimamoto limefika na kujitahidi kuzima moto huo.Ajali hiyo imetokea kilomita chache kutoka Morogoro kwenda Dodoma.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...