Thursday, October 23, 2014

Rose Ndauka almanasura amdake T.I

Msanii wa bongo movie Rose Ndauka.Msanii wa filamu nchini, Rose Ndauka Jumamosi iliyopita alihaha akitaka kumweka kati kimapenzi msanii Hip pop, Clifford Harris T.I.
Habari zinasema kuwa msanii huyo ambaye alikuwa ameonja kidogo mvinyo aliwapasha mashoga zake aliokuwa nao karibu kuwa lazima atimize azma yake.Rapa kutoka Atlanta Clifford Harris Jr a.k.a T.I alionyesha upendo kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 jijini Dar.Ikasemwa pia kuwa katika jitihada zake hizo, Rose alijaribu kwenda nyuma ya jukwaa ili kumtega msanii huyo lakini jitihada zake hazikufua dafu.

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...