June 2014
|
Amefungiwa kujishughulisha na soka kwa miezi
minne, pamoja na mechi tisa za kimataifa, kwa kumng’ata mlinzi wa
Italia, Giorgio Chiellini
|
April 2013
|
Aliomba radhi kwa kumng’ata Branislav Ivanovic mlinzi wa Chelsea na akatumikia adhabu ya kufungiwa mechi 10.
|
Dec 2011
|
Alipigwa adhabu ya kufungiwa mechi nane na
kupigwa faini ya pauni 40,000 kwa kumtusi kiubaguzi wa rangi mlinzi
Patrice Evra wa Manchester United.
|
Nov 2010
|
Alipigwa adhabu ya kufungiwa mechi saba kwa kumng’ata begani Otman Bakkal wa PSV Eindhoven’s Otman Bakkal wakati akichezea Ajax
|
July 2010
|
Alishika mpira kwa mkono wakati ukiingia
golini na kuwanyima Ghana ushindi kwenye mechi ya robo fainali. Asamoah
Gyan akakosa penati na kuipatia Uruguay nafasi ya kushinda kwa mikwaju
ya penati kuamua mshindi kuingia nusu fainali.
|
No comments:
Post a Comment